Bright azungumzia kollabo yake na Diamond platnumz jumapili hii
Hit maker wa song nituzie Bright azungu mzia kuhusu kollabo yake na Diamond platnumz.Msani huyo wakizazi kipya amezungu mzahayo kupitia kituo maarufu cha radio
Akizungu mza na radio jumapili hii kuhusu kollabo yake na Diamond platnumz.Alisema anatala jia kuachia nyimbo yangue mpya na Diamond platnumz.Hivikali buni nakusema anatarajia Kuiteka Africa East asfica kiujumla Nimeamua kuwekeza katika mziki wabongo frever Big up fansi wangu najua bilaya nyinyi siwezi kufika kokote.Ndipo akaulizwa kuhusu bifuzito na Baraka The prince .Akajibu mimi sina bifu namtu yoyote kwanza mimi nina masha biki wengi kuliko Baraka The prince Akuishia apo Akasema mimi nimeanza mziki baraka bado yupi shule yeye kapata kinga Kwa kiba sina bifu naekabisa Masha bikiwako watege menini kutoka kwako Bright.Wategemee kazinzuri waendele kuni sapoti kupitia muziki wangu Sapoti yao ndio kilakitu Nategemea kuachia nyimbo yangu mwezi wa kumi namoja video tumesha shoot Sous Afrika Alima lizakwa kusema hayo Mkali huyo wa nitunzie
Hakuna maoni: